Mkuu ao ndio ule upande wa kupinga pinga pasipo kushirikisha ubongo, msingi wao mkuu hawajui wanataka nini, leo ndege kesho boda boda, leo nchi masikini kesho takwimu hazisaidii....... Kwakuwa ni watz wenzetu tuwe nao tu .
Mkuu mbona kaongea kawaida sana au kulikuwa na kitu kichwani kwako ulipenda aongee hajaongea? Au ww upo uko ungependa utoe kilio chako bila kupata sehem sahihi na kuamua kutafuta huruma ya watu huku? Anyway nisamehe Kama nimekukwaza kwa mtazamo wangu.
Mie kilaza naona nipo tofauti na naomba nielimishwe.
Nilitegemea percent ndogo ndogo zifanye total ya mia ukiachia ile 70 percent ambayo tuna asume km 100 percent ya maji yote.
Yaani Kama vile unajua shida niliyo nayo Kaka. Nnayo RAV4 ya kiengereza yenye shida iyo iyo nilihangaika Sana hatimae fundi alinambia nibadilishe control box kitu ambacho Hadi Sasa sijafanya kwa kuhofia pengine sio tatizo Hilo na kuishia kupoteza hela. Msaada zaidi kwa wenye uelewa tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.