RRONDO,
Naomba kujua gari ya Toyota Isis ya mwaka 2008 Engine Oil ipi ni nzuri kwa ajili ya kuifanyia service? Halafu matairi yake ni 195/65/R15 kiasi gani cha upepo ni sahihi kwa magurudumu haya (tubeless)?
Sifikirii kabisa kuweka spacer kwa sababu nasikia inaweza kuwababisha gari kupoteza balans yake hivyo uwezekano wa kupata ajali ukiwa kasi ni unaongezeka...
Kuna mtaalamu ameniambia kuwa nikiweka 195/70/R15 ulaji wa mafuta utaongezeka kwa asilimia 3.5% hivi. Nadhani ukilinganisha na uchakavu wa bumper gari inapata kwa kugusa ardhi kwa kila bonde... itakuwa ni gharama inayovumilika.
Nataka kuongeza ground clearance ya gari (Toyota Isis) kwa kubadilisha tairi kutoka 195/65 R15 na kuweka 195/70R15 Je hiyo itasaidia? Na je inaweza kuwa na athari zozote hasi kwa mwenendo mzima wa gari?
Umeme huu wa maji utakapokamilika utakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wengi iwe vijijini au mijini. Nadhani tusifike kiasi cha kuwataka binadamu wabaki masikini eti kwa sababu ya wanyama. HAPANA! Watuache tujijengee umeme wetu na watuache tuijenge nchi yetu!
Wakuu nataka kujiingiza kwenye kilimo maeneo ya Kibiti. Kuna mwenye mawasiliano ya bwana shamba wilaya ya KIBITI ili niweze kupata ushauri kwake juu ya mazao ya kulima, aina za mbegu na muda wa kufanya maandalizi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.