NDUGU ZANGU NIMEINGIA KWENYE BLOG YA ccmchama.blogspot.com KUJARIBU KUSOMA NA KUONA MAONI NA MTAZAMO WA CCM JUU YA KIFO HIKI CHA KUSIKITISHA NA KILICHOACHA TAIFA KWENYE TAARUKI KUBWA LAKINI KWA MASIKITIKO MAKUBWA SANA SIJAPATA HABARI YOYOTE ILE ATA TANZIA INAYOHUSIANA NA MAREHEMU DAUD MWANGOSI...
Ni dhambi kubwa sana kufanya umahuti na msiba kuwa mtaji wa kisiasa!!!CCM iache kuwatukana watanzania kiasi hicho, umasikini waliotusababishia ni matusi tosha!!!Watanzania tusikubali kununulia kwa siasa za bei rahisi tunataka maendeleo!!!
Hizi ni moja ya mbinu za ccm kuzuia m4c ya chadema, hapa ni wakiwa wamechimba barabara ili msafara wa chadema -m4c usiingie kijiji cha namgezi kata ya keya ulanga mashariki...kwa fikra izi je ccm imefilisika kifikra!!!
Dr. Ulimboka akumbuke kuwa ni sisi watanzania wazalendo ndio tuliookoa maisha yake kwa kumchangia na kumpeleka kwenye matibabu nje ya nchi...na sasa ni watanzania haohao ndio tunaitaji kuwajua hao wahuaji ili tuwaangamize kabisa tusijepata garama tena ya kumpeleka mwingine nje ya nchi kwa...
Wakina Tuntemeke ni aina ya viongozi wachumia tumboni ambao wako kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya vyeo wakikosa vyeo ndio matokeo yake UASI..Viongozi wa Chadema wanamfahamu sana Tuntemeke na kuna kipindi waliahidi kumchukulia hatua za kinidhamu.sasa sijui walifikia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.