Nimekuwa nikijiuliza haya maswali muda mrefu mimi kama Mtanzania nisiweze kuyapatia majibu thabiti kutokana na kuona jinsi hali ya mazingira yaliyotuzunguka yalivyo ni kutokana na ongezeko kubwa la watanzania waliokata tamaa na kuona maisha magumu na kuchukuia maisha na kuona pengine hawapo...
NDUGU watanzania tumempuuza Hekima tusiweze kubaini kati ya jema na baya.tusimpuuze Hekima kwasababu ni mng’ao wa mwanga wa milele, kioo Safi cha matendo ya Mungu na mfano wa wema wake .ingawa Hekima ni mmoja lakini aweza kutenda chochote kwakuwa habadiliki ,na hufanya upya kila kitu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.