Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Current visitors
Verified members
Jamii Check
Stories of Change
Start Discussion
Fichua Uovu (MDAU)
Staff Online
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Fichua Uovu
Stories of Change
JamiiCheck
Members
kendy
Recent content by kendy
K
Safi Sana: Marekani na ujanja wake kaingizwa mkenge na Venezuela kuhusu kuuziwa mafuta
Kwa hiyo ule ujumbe wa USA uliokwenda Venezuela ulienda kucheza basketball 🏀?
kendy
Post #43
Mar 16, 2022
Forum:
International Forum
K
Zelensky: Watu wote wanaokufa Ukraine, wanakufa kwasababu yenu NATO
Dada unabadilikabadilika
kendy
Post #166
Mar 16, 2022
Forum:
International Forum
K
Tofauti kati ya Rais Asharaf Ghani wa Afghanistan na Vlodmir Zelensky wa Ukraine
Yule mtu alikua mwoga hatari, Pamoja na ulinzi mkali lakini aliliwa kichwa. Mungu mtaalamu
kendy
Post #2
Mar 16, 2022
Forum:
International Forum
K
Safi Sana: Marekani na ujanja wake kaingizwa mkenge na Venezuela kuhusu kuuziwa mafuta
Kwa hiyo kumbe USA ni chanzo Cha vurugu,vita na fujo zote duniani
kendy
Post #23
Mar 16, 2022
Forum:
International Forum
K
Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba
Ha ha haa,we jamaa mtata sana
kendy
Post #130
Mar 1, 2022
Forum:
International Forum
K
Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni
Kusema kweli Mimi nimejawa na huruma. Namuonea huruma sana Rais wa Ukraine kwa sababu ameingizwa matatizoni na USA
kendy
Post #76
Feb 22, 2022
Forum:
International Forum
K
Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk
Hapana bana unavyonfanyia sio fair kabisa. Mwache Dada atoe maoni yake. Hatufanani kwa mawazo.
kendy
Post #357
Feb 22, 2022
Forum:
International Forum
K
Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu
Kwa hiyo ulitaka wafanyeje labda. Waweke matanga na bendela za chama zipepee nusu mringoti?
kendy
Post #48
Feb 9, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu
Mtukutu huyu jamaa
kendy
Post #46
Feb 9, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela
Anataka chadema idhoofu afu yeye awe kiongozi mkuu wa upinzani
kendy
Post #63
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Ni lipi kosa la Lutenant Denis Urio? Au Mimi kuna sehemu nimepitwa?
Maisha yake. Huenda katishwa na kateswa.
kendy
Post #39
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Ni lipi kosa la Lutenant Denis Urio? Au Mimi kuna sehemu nimepitwa?
Nakuelewa Sana Mkuu
kendy
Post #38
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Ni lipi kosa la Lutenant Denis Urio? Au Mimi kuna sehemu nimepitwa?
Hapiki kwa hiari, inawezekana analazimishwa. Akina Adamoo walisaini maelezo wakiwa wamewekewa pisto kichwani. Urio ni Nani apingane na wenye nguvu?
kendy
Post #37
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Ni lipi kosa la Lutenant Denis Urio? Au Mimi kuna sehemu nimepitwa?
Oooooh noooo!
kendy
Post #36
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Ni lipi kosa la Lutenant Denis Urio? Au Mimi kuna sehemu nimepitwa?
Eeh Mungu wee,! Mkuu Umeongea maneno mazito Sana haya.
kendy
Post #35
Feb 6, 2022
Forum:
Jukwaa la Siasa
Members
kendy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back