Mi nimepigiwa cm mchana kwa vda nikakuta missed col nilipoipiga aliniuliza kwan we nimekupigia nikamjib ndio akasema subr kwanza niangalie kama nilikupigia, Kila nikipiga namb busy sa hv haipatkan asa hz habar kwamb jamaa wanaita zimenifany nihis kama ni wao
Samahan wadau, kuna majina 80 yalotumwa leo asubuh hvi yana ukweli wowote........... Kwa sasa link imetolewa ila kwa mwenye taarifa za ukweli naomba update
Sawa sawa interview ya kwanza ilifanyika tarehe 13 jumamos ya tarehe 10 ilitimiza mwezi na interview ya pil inafanyka....... Kwa hii jumamos ijayo tunatimiza mwezi............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.