Samahan wadau, kuna majina 80 yalotumwa leo asubuh hvi yana ukweli wowote........... Kwa sasa link imetolewa ila kwa mwenye taarifa za ukweli naomba update
hahahaha kwa hiyo SUPU YA MAWE ali wauza? duu
sasa ni nini hasa kinacho kukufanya ucheke.......au sio ridhiki. watu wanatafuta maisha, nyie unafanya sehemu ya comedy sio
Wakakushangaa na list yko..... Duh
walichukua list yangu niliyoenda nayo, wakaandika na pen jina langu then wakatoa photocopy wakabakia nazo