Je unataka list ya wasio watanzania tu au wasio watanzani alkini pia si wazalendo?
Kama kigoma si tanzania kama baadhi wa wabunge wake wanavyodai basi zito si mtanzania lakini nimuonavyo mimi ni mzalendo je unataka hata watu wa aina hii? au ?
.....niliwahi kusikia chigweyemisi ni mzambia...
I was curious kujua ukweli wa jambo hili ukizingatia kuwa ni sensitive sana kwa namna yoyote haiwezekani kumuuliza mtu swali la aina hii katika face to face conversation kwa iyo nikaona ni bora kutumia jukwaa hili lenye weledi wa fani mbalimbali kunijuza, maana niliamini objectivity itakuwa...
asanteni wote kwa michango yenu.....nimepata muelekeo jibu sahihi
nimeridhika na majibu yote, mood unaweza kuifunga thread (sijui kama ni sahihi kusagest kama mtoa mada ), jibu nimepata nimetosheka, usiku mwema
hodi hodi waungwana
napenda mnijuze jambo hili
nimeolewa na nina miaka kadhaa katika ndoa yangu....kuna jambo nataka niwe clear ....mume wangu mara nyingi amekua akinisifia kuwa 'kitumbua changu kimeumuka sana ...na anadai wanaume hupenda hali hiyo.... nikimuuliza kwanini hana straight forward...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.