Ndiyo... Rais wa Burundi, Piere Nkurunzinza amejikuta katika sintofahamu baada ya taarifa ya kupinduliwa kwake akiwa kwenye kikao nchini Tanzania. Nawataka, viongozi wengine wenye tabia za kung'ang'ania madaraka mwonyane mapema na kusoma alama za nyakati kabla hayajawakuta madhila kama hayo...
Pande mbili za sambamba trapeza !? kwanza ni mara yangu ya kwanza kusikia jina la umbo hili "sambamba trapeza"! kwa umbo kama hili najua tu utanichukulia kuwa sijui maana sitajaribu kulijibu. Labda ulisuke upya kisha ulilete tena.
hivi kama mtu mwenyewe hawezi kujitambua na kujiheshimu, ni nani atakayemheshimu yeye? jamani dada zangu,mnapendeza sana hata msipoyabana makalio, hips na hizo nyonyo! mi nadhani mjiheshimu nanyi mtaheshimika tu. vinginevo mkashawishi wajumbe wa bunge la katiba wapitishe katiba itakayoruhusu...
Neno lililosahihi ni MAITI HII. Kwa sababu, thamani ya binadamu inatoweka anapofariki. Maiti haina tena umuhimu wala msaada kwa watu wazima. (Mf. takataka hii)
Pole kaka! yuleyule alekuwepo kwenye wizara ya vazi la taifa akiwa bado ktk ukusanyaji maoni alihamishiwa kwenye wizara ya vitambulisho vya taifa. Lkn hata kabla ya zoezi la vitambulisho kukamilika akaondolewa kwa nguvu ya operation tokomeza ujangili. Chezea matokeo makubwa sasa !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.