jamani hakuna mtu ambae hata onja mauti... sote tuta pita njia hiyo hiyo ila kWa namna tofauti,, Mungu alilaze roho ya shario Millionea mahal pema peponi AMEN
poleni na kazi wanajamii. Nina rafiki wangu wa karibu sana tangu secondary na sasa hivi tupo chuo. amepata shida hii na ameniomba msaada wa kiakili nkasema niwaambie na nyie ndugu zangu.
alianza mahusiano akiwa kidato cha nne na alikuwa na furaha sana yeye na mwenzi wake. Wakachaguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.