Je Ukweli Ni nini? Utengamano baina ya uthibitisho na uhalisia?hayakuwa mafunuo ila kufunika mpaka juu.
Au Ni wingi wa ushahidi wa Wengi zidi ya Jambo?
Au Kusema Jambo lisivyo kwa namna Jambo lilivyokuwa?
Je ukweli ukichanganywa na uongo hubaki ukweli?
Nataka kujua mamah!
Hapa Tulipo baadhi...
Habari,Afrika !!!
Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila sehemu hapo mbawa zitakapoota,Na mtunzaji wa nyumba yake kazungushia zile mbawa kwa kuzichomeka kwa juu...
Hizi ni Himizo za mwisho na salamu kwa watu wote.
Kwa watanzania, watu wote,viumbe vyote,walio hai na walio pumzika,Ipo kwenu na iwazi sasa,(waebrania12;3), [webrania13;22-25].[/B]
Mimi mlango wangu, ambao ni wenu, kwetu sasa, ni ule mwembamba sana, wa juu kabisa mwishoni mwa yote.Humo ndimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.