Kumbusho hili muhimu,Kwa Binti zetu nyumbani,
Tusibaki kulaumu,Wakishindwa Maishani,
Tuzifikishe Salamu,Kwa Utuo na makini,
Matano yana muhimu ,Mavazi ya kuvalia.
Kwanza hiyo sare yako ,shuleni unosomea,
Yasitiri mwili wako,kuziepuka udhia,
Haitaki manukato,ya mwili na mapambia ,
Matano...
Habari Wakuu
Katika maisha tunafanya mengi kwa kila mmoja kuamini ni haki yake kufanya afanyavo.
Kwa upeo makini wa mwanadamu akaenda mbali kwa kujiwekea miongozo mbalimbali.
Akaiita haki na wajibu,Kwa maana Yale anayopaswa kufanya kwenda kwa mwengine, na Yale anayopaswa kufanyiwa toka sehemu...
Wenyewe walio wajuvi wa mambo hayo waliamua kuacha wazi mlango wa maana halisi ya neno Mapenzi.
Kwa maana hyo kila mmoja akatafsiri Mapenzi ajuavyo.
Leo imekuwa kawaida kujikabidhi kwa Mwanaume bila ndoa , na katika jamii ukapewa cheo cha Mume au Mke halali wa Muhusika.
Uzamani umeonekana...
Habari Wakuu,
Nakumbuka enzi hizo za utafutaji wa ajira kama tulivyo wengi humu jukwaani.
Kiukweli haikuwa rahisi kupata kazi,Sehemu nyingine ambazo nilibahatika kupata walau kujishkiza Maslahi yalikuwa duni kuliko maelezo.
Kuna sehemu nilikuwa katika matazamio kwa muda wa miezi mitatu,Pasi...
Habari Wakuu,
Nimekua nikijiuliza bila kupata jawabu kuntu juu ya suala hili,
Katika Uhusiano wa kimapenzi,Hivi kuna uwezekano kwa mtu ambae hamjawahi kuonana kabisa.Kwa maana kufahamiana Kwa sura kuja kuoana na kuwa na maisha mazuri ya kindoa??
Tuchukulie kufahamiana kupitia mitandao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.