Kumbusho hili muhimu,Kwa Binti zetu nyumbani,
Tusibaki kulaumu,Wakishindwa Maishani,
Tuzifikishe Salamu,Kwa Utuo na makini,
Matano yana muhimu ,Mavazi ya kuvalia.
Kwanza hiyo sare yako ,shuleni unosomea,
Yasitiri mwili wako,kuziepuka udhia,
Haitaki manukato,ya mwili na mapambia ,
Matano...
Habari Wakuu
Katika maisha tunafanya mengi kwa kila mmoja kuamini ni haki yake kufanya afanyavo.
Kwa upeo makini wa mwanadamu akaenda mbali kwa kujiwekea miongozo mbalimbali.
Akaiita haki na wajibu,Kwa maana Yale anayopaswa kufanya kwenda kwa mwengine, na Yale anayopaswa kufanyiwa toka sehemu...
Wenyewe walio wajuvi wa mambo hayo waliamua kuacha wazi mlango wa maana halisi ya neno Mapenzi.
Kwa maana hyo kila mmoja akatafsiri Mapenzi ajuavyo.
Leo imekuwa kawaida kujikabidhi kwa Mwanaume bila ndoa , na katika jamii ukapewa cheo cha Mume au Mke halali wa Muhusika.
Uzamani umeonekana...
Habari Wakuu,
Nakumbuka enzi hizo za utafutaji wa ajira kama tulivyo wengi humu jukwaani.
Kiukweli haikuwa rahisi kupata kazi,Sehemu nyingine ambazo nilibahatika kupata walau kujishkiza Maslahi yalikuwa duni kuliko maelezo.
Kuna sehemu nilikuwa katika matazamio kwa muda wa miezi mitatu,Pasi...
Habari Wakuu,
Nimekua nikijiuliza bila kupata jawabu kuntu juu ya suala hili,
Katika Uhusiano wa kimapenzi,Hivi kuna uwezekano kwa mtu ambae hamjawahi kuonana kabisa.Kwa maana kufahamiana Kwa sura kuja kuoana na kuwa na maisha mazuri ya kindoa??
Tuchukulie kufahamiana kupitia mitandao ya...
Mahaasin TV,Ni Televisheni ya Pili ya Kiislam,Kukabidhiwa Leseni ya Kurusha Matangazo Yake. Kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA.Inapatikana Kupitia Continental Decorder,na pia Kwa Kupakua App yake ndani ya Google Play Store.
Mahaasin TV(Pata Kujua Wema wa Uislam)
Habari Wakuu
Ni katika Kuzidi tu kushirikishana katika Yale yanojiri Maishani.
Ni Kipindi ambacho Nilikuwa nikihitaji Pesa kuliko Chochote.Kwani Niliamua kurudi Darasani kujiendeleza Kielimu,Tayari Mtoto wa Watu nilikuwa nimemposa na Machache yalibaki kabla ya kumuita My Wife wangu.Ni wakati...
Habari Wakuu
Tukiwa kama Watanzania,jukumu la kuitunza na kuilinda Amani ya Nchi Yetu ni ya kila mmoja.
Kalamu na karatasi,Tumekuandalia ujumbe uitwao"MAMA TANZANIA"kwa Njia ya SAUTI makhsusi kwa lengo hili.
Kuwa wa kwanza kuupata na kuusambaza kadiri uwezavyo,Ili tuendelee kuiona...
SIMULIZI FUPI:Mama Tanzania
MTUNZI:Hilal M Magege
MSAMBAZAJI:Kalamu na Karatasi
Mawasiliano:
Simu ;0655 08 02 90 au 0764 65 10 00
Au Barua Pepe kalamunakaratasi@gmail.com
Nchi yeyote Duniani imepewa hadhi ya mama,hadhi ambayo,sijui ni kwa heshma ya hao waliomo ndani yake.?ama!ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.