Mwaka 2012 nilipata post ya ualimu mkoani kagera. Lakini sikwenda kuripoti kutokana na mkataba niliokuwa nao kwenye kampuni nyingine binafsi. Nimemaliza mkataba na nahitaji kurudi tena kwa serikali. Hivi huwa ni njia gani zinafuatagwa??????
Mengi yanasemwa kuhusu hili lakini uhalisia ni huu: mimi ni mwalimu kwa kazi yangu na nina uzoefu wa miaka miwili kazini. Ninayoyaona hapa kazini ni sawa kabisa na mnayoyasema hapa. Kuna wanafunzi wa aina mbili katika shule kwakuzingatia swala zima la mahusiano.
Kwanza ni wale wanafunzi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.