hawa jamaa hawataki kukubali kwamba wanatuibia,yaani kazi tuliyowachagua watuwakilishe ni ya kukaa pale mjengoni,na ambayo tunawalipa mshahara na posho nyingine za kutosha,bado pia wanapata posho za kujikimu wakiwa mjengoni,sasa hizi sitting allowances za nini??????wizi mtupuuuuu
kwakuwa dhamira inayokusuta sasa ni kwa sababu umempokea Yesu, unaonaje ukienda kwa viongozi wa kiroho ukapata ushauri wa kiroho kwa jambo la kiroho?
ingawa pia mnaweza kwenda kuomba msamaha kwa wazazi kwanza kama lengo ni kutengeneza
kwa nijuavyo mimi mabasi haya yamejengwa kwa bodi ngumu na chesisi nzito sana kiasai matairi yanshindwa kuhimiri uzito yanaobeba,na ndio maana utaona matairi yote yaliyopasuka kwenye ajari hizo ni ya mbele kunakokuwa na mzigo mkubwa na tairi ni mbili tu[moja kila upande]
NO hurry in afrika, everything starts late but ends in time,
kwa wasiojua ni kwamba baada ya tarehe 31 line ambayo haijasajiliwa haitatumika mpaka hapo itakaposajiliwa,ikitokea line yako hujaisajili mpaka muda huo opereta wako atalazimika kukufungia huduma hadi utakaposajili ndipo utarudishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.