Jana nilienda hospitali moja binafsi kupata matibabu kwa kutumia kadi yangu ya Bima. Wakati huo nilipata sms kuwa kadi yangu imetumika na kama sijui nitoe taarifa.
Leo muda huu napata tena taarifa kadi yangu inatumika kwenye hospitali ile ile niliyoenda kupata matibabu wakati mimi nipo...
Naomba maelekezo ndugu zanguni jinsi ili niweze kujua jinsi ya kuweka booking kwa ajili ya kuchanja.
Natarajia kwenda kuchanja wiki hii katika hospitali ya kairuki
Ushauri mzuri sana huu japo kwa upande wa mwanamke unaumiza, ila atajifunza na atatulia kwenye ndoa yake hata akija Kuwa na mwanaume mwingine huko mbeleni hata kama afanye kosa kama hili kamwe
Wake zetu siku hizi wakitaka kuchepuka wana sababu 2 au 3 za Kuwaambia michepuko yao, ambazo ni:-
1. Mume wangu ni mlevi
2. Mume wangu ni malaya
3. Mume wangu haniridhishi au akipiga kimoja basi.
Kwa wenye uelewa, wastaarabu wana jina huyu ni malaya hana jipya. Vijana acheni tabia za kutembea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.