Jiulize maswali mawili tu. Moja, wewe na mama wa huyo mtoto mlikuwa mnapata ngapi kwenye mitihani hasa hisabati na sayansi? Mbili ,Wewe ulimpeleka huyo mtoto shule ukiwa na malengo au matarajio gani?
Habari zenu star times! Mimi naitwa Stanslaus kimpanti Niko moro, napenda kujua hapo awali mlikuwa mnatuachia chanels za ndani tbc1,startv,Chanel ten na ITV tunaangalia free baadaye sijui nini kilitokea, mkaziondoa ikabaki tbc1 pekee.
Watanzania wengi kwa maoni yangu wanamatatizo makubwa mawili katika matumizi ya pesa, moja ni ulimbukeni na mbili ni kutojua vipaumbele katika maisha yetu. ... Nakupongeza uliyechokoza mada hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.