Recent content by kabhosa

  1. K

    Nimejeruhi paka usiku asubuhi mwenye paka anachechemea. Nimefanya mazungumzo na mwenye Paka

    Ingekuwa sumbawanga, saizi watu wangekuwa wanatuma R.I.P
  2. K

    Zijue faida 6 za kutumia maji ya vuguvugu nyakati za asubuhi

    Nitaanza soon kwaajiri ya hiyo no1.
  3. K

    Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

    Mimi huwa nawasaidia wengi tu nisio wafahamu kadiri mungu anavyonijalia riziki na ukarimu.
  4. K

    Hivi mwanao akipata 1/43 kuna haka ya kuendelea kumlipia ada?

    Jiulize maswali mawili tu. Moja, wewe na mama wa huyo mtoto mlikuwa mnapata ngapi kwenye mitihani hasa hisabati na sayansi? Mbili ,Wewe ulimpeleka huyo mtoto shule ukiwa na malengo au matarajio gani?
  5. K

    South Africa msije Sio kuzuri

    Vumilia kaka, ila usijiunge na magenge ya uhalifu maana ukikamatwa utahukumiwa kwa sheria za huko kwa maagizo ya Mjomba Magu.
  6. K

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Habari zenu star times! Mimi naitwa Stanslaus kimpanti Niko moro, napenda kujua hapo awali mlikuwa mnatuachia chanels za ndani tbc1,startv,Chanel ten na ITV tunaangalia free baadaye sijui nini kilitokea, mkaziondoa ikabaki tbc1 pekee.
  7. K

    Ni sawa kununua gari ya TZS 15 Million huku ukiwa unaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule?

    Watanzania wengi kwa maoni yangu wanamatatizo makubwa mawili katika matumizi ya pesa, moja ni ulimbukeni na mbili ni kutojua vipaumbele katika maisha yetu. ... Nakupongeza uliyechokoza mada hii
  8. K

    Binti mchawi adondoka makaburini

    Ashukuru kaangukia kwenye makaburi, fikiria kama angedondokea baharini au ziwani .... Si angekuwa chakula ya samaki?
  9. K

    Dr. Bashiru Ally: Ni wanasiasa uchwara pekee ndio uhama-hama vyama!

    Wanaohama upinzani kurudi tawala ni sababu ya njaa, hawana lolote!!
Back
Top Bottom