ndugu hii inachoma sana hasa kwa watu tunaozunguka migodi ndyo tulio na hali mbaya kabsa nmekuwa nkitegemea hmgod alyopewa mgen leo hii mm cna kitu ndugu napo jarib kadai hata eneo dogo klwa ajili ya kuchmba kama wachimbajiwadogo tunaambiwa tusubiri wafanye uchuguzi wa enneo huska wakati huo...
Siyo kama kweli ni sawa hasa kwa hili maana kila wamebinafsisha niende wapi mimi mzawa nilicho tegemea hakipo tena wakati huo haja tuonesha sehem ya kwenda kule tutafika tuwendako jaman kwa hali hiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.