To make things simple. Ukitaka akili za maana nenda shule za serikali. Kimsingi div I:15 ya Tabora boys ni bora zaidi kuliko div I:7 ya Kemebos. Kuna sanaa nyingi sana
Mimi nadhani kama hoja yako ingekuwa kuna mteule asiyefaa. Vinginevyo naona kuna viashiria vya uchochezi maana badaa ya ya hapo utaenda kuchambua makabila yao na dini zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.