Inatakiwa wajifunze hii tabia kujikimbiza kujitegesha kubeba mimba kwa kutegemea mtu atapata faida fulani imezalisha masingo maza kibao.
Mwanaume akikupenda hata bila kujikimbiza kujitegesha kuzaa atakuoa tu kama hakupendi atakuacha aende kwingine
Dokta ingekuwa vizuri ukajenga hoja sii tu kulazimisha kila mtu akubali mtazamo wako.
Njoo na hoja zako ni athari gani mtu atapata anapoingia kwenye ndoa na mtu wa imani tofauti ikiwezekana na mifano hai.
Ndio hiyo hiyo dalili ama una nyingine? Kutoka na jasho usiku jee?
Ila umeme huwa mtu anakaa zaidi hata ya miezi 3 ndio dalili za mwanzo kabisa hujitokeza halafu zinapotea
Mimi nadhani mtu akifukuzwa kazi atajikuta tu automatically anaingia kwenye mfumo mwingine either alijipanga ama laa . Mbona wengine ni jobless tunasurvive tu hivyo hivyo siku ikipita ndio unashukuru.
Mbona kama imetafsiriwa na google translate. Na kwanini kwenye tiketi yako odds kwenye mechi zote ni above 1.25 ndio ile ya kukidhi vigezo vya bonus?
Mtaendelea kukosa wateja hadi mrudishe bonus ile ya 1000% bila vigezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.