Urais sio mtu ni taasisi....... Urais sio jeshi la mtu mmoja na taasisi lazima iongozwe kwa misingi ya sheria, tathimini za kweli, ushauri wa kitaalam. Kwa sasa inaonekana haya yote yanakosekana!!!
Ukikutana na wale asilia utawagundua kwa urahisi sana, wapole, wana huruma, wastaarabu, hawapendi shari ila wapo wa kibongo ambao rasta kwao ni fashion..................
What is required here is to educate Tanzanians on the whole matter of democracy and not asking help from US and Europe, can't we think and solve our problems until calling those KENGES from west? I think we are old enough to solve our problems
Kuwa kariakoo na maisha ya kudhalilika ni geresha, fuatilia mambo wanayofanya underground ni noma. Hawa jamaa wanaitafuna nchi vibaya, kwa sasa wapo karibu kila mkoa na wangi wao wanafanya kazi za kawaida ila kuna uhuni mkumbwa wanaoufanya kimyakimya
Jana wagombea wa CCM katika nafasi ya Ubunge na udiwani jimbo la Mwanga walikua wanajinadi kuomba kupigiwa kura itakayofanyika tarehe 1 August. Walikua eneo la Kisangara na alichoambulia Maghembe kuzomewa, huku wenzake wakishangiliwa sana.
Alivuruga aliposema mradi wa maji kutoka Nyumba ya...
Baadhi ya maandishi ni kweli, ila hawa jamaa wapo kulinda na kutetea imani ya kanisa katoliki. Swali sio uhatari wake ila ukweli ni kwamba haya majamaa yanasoma sana na elimu zote sio tu mambo ya dini bali pia elimu zingine. Kwa hawa jamaa kuwa na doctrate tatu au hata zaidi za mambo tofauti ni...
Huyu ni mwizi kama wezi wengine,
__ Amepiga hiyo hela ndo maana hata kutafuta wadhamini alitumia ndege ya kukodi, mwizi mkubwa!
__ Anatumiwa na Wachina, Waisrael, Wamarekani kufanikisha madeal yao ya wizi hapa nchini, mwizi mkubwa!
__ Anatumiwa na shirika moja la kijasusi kwa manufaa ya nchi...
-- Tulilemazwa, ila baada ya muda kuna mikoa ilishtuka wakaanza kufanya kazi kwa bidii, mpaka sasa kuna baadhi ya mikoa ina maendeleo kuliko mingine. Hata hivyo kuna watu wa nchi nyingine wakija hapa nchini wanatushangaa kwa rasilimali tulizonazo afu bado tunalialia.
-- Fikiri misitu iliyopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.