Aiseehh! Namkumbuka yule wa takriban miezi mi3 au mi4 iliyopita nilihusika kumbeba kwenye chaga akiwa anakata Roho. Simpatii picha huyo alipokea kipondo cha haja gan!?
Hili li ARIS la chuo kikuu Mzumbe linaboa sana. MaFR wametuma taarifa za kuwekwa kwa matokeo tangu wiki iliyopita lakin mpaka sasa hakuna chochote. Na taarifa ya kua matokeo sio mazuri hasa kwa 1st Yeah ndio zimezagaa. S mtujulishe kama tumedisco tujue 1.
Sijawaelewa mnaoArgue Index No. Inamaana TCU hawajui kma kuna kuDISCO? Na kma ukisubiri Miaka yko ya kugraduate chuo ikaisha, kwan taarifa zako TCU nazo ztaexpye???
Hiyo No.4 naunga mkono...!!! Na huyo alieargue hapo atakua ni mdada na kwa namna hiyo anapenda sana kusuguliwa papuchi na boy wake ndio maana anacrush kipust.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.