Habarini,
Nahitaji kujua kama kuna mtu ana uelewa zaidi au experience ya ni muda gani ukitoa An intrauterine device (IUD au coil) au wengine wanaita loop, unaweza kupata ujauzito.
Niliweka IUD ya copper about 4 years ago na nataka kuitoa, kama kuna mwenye experience ya hii msaada plz
Adele ni moja kati ya wanamuziki wanaonibamba sana nikisikia nyimbo zake huwa zinavuta hisia..
ukianza na Someone like you, Rollin in the deep, Skyfall etc
Alikuwa kimya kitambo lakini sasa hivi ametoka na Hello..imesha hit views almost 90m ndani ya siku tano kwenye you tube.Album yake mpya...
Mkuu una uhakika unachokiongea? au umetumwa na kuchafua na mifuko mingine? nina mifano ya watu wengi wamestaafu wamelipwa na PSPF mafao yao ni bora kuliko mifuko0 mingine hilo halina upinzani..
Hizo ni marketing za mifuko isiokua na mafao yanayoeleweka kama LAPF vile...
Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven Kingdoms...,
Mpaka sasa series imeingia episode ya nne na mwandishi ameshaandika vitabu sita; cha...
Ok sasa hapo inakuaje kwa suala la mtu kuzaliwa kwenye familia duni na familia inayojiweza? sababu wengine maisha tangu wamezaliwa ni ku struggle tu lakini wengine ndo kazaliwa familia au ukoo yani hafikirii hata kesho yake itakuaje sababu ipo yani everythng z thr always..hapo inakuaje?
The saying is; God gives us what we deserve.
It's a popular saying that people like to use but I'm curious about it.
Does He, really? So if you have a bad husband, bad friends, family members, colleagues etc, it's because you deserve it?
If bad things happen to you, it's because you deserve...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.