Duu nimepita juzi nikienda Moshi na hizo barabara 4 kwa kweli ni miyeyusho tuu..badala ya kupanua kwa kutumia changarawe zinazowekwa chini kislammi juu yake wanatumia udongo..sasa na malori yetu haya itakuwaje? mmm
Natanguliza shukrani kwa bro Michuzi DC wa naniii pale kwa huduma yake nzuri anayoitoa kwa jamii kuwasilisha "niuzi" kwetu sote.
Swali langu linakuja hapa, Ni kwamba kuna tangazo pale juu kabisa mara baada ya kuingia kwenye website ya michuzi after tangazo la Ndovu. Hili ni Tangazo la Chuo...
Kweli. Pia kuongeza, ukiona mtu mchafu ukamwambia aisee ndugu yangu we umechafuka, hio ni kosa? Ama la hawa viongozi wetu wamezoea kuvimbishwa kichwa. Mijitu mikubwa lakini laaa..yaani wanataka umwambie kuwa eeh unafanya kazi nzuri, watu wanawasingizia. lakini unakubalije kusikia uongo juu yako...
"We all know that those tactics have a limit. Sooner or later the people get used to strong-arm tactics. Then they will fight back. They fought back in Kenya, didn't they? One thing CCM should know is that they cannot force the people of Tanzania to love them, even by brandishing clubs at them...
Hivi what happened na ile ishu ya White House kutumie e mail za yahoo.com licha ya kwamba walitenga milioni 32 (somewhere around there) kwa ajili ya matumizi ya www hapo kulu?
Yaani mmhh
Hapa ATL bora niende zangu kwenye ma stripper wa nguvu body kali kushinda beyonce..walau kila dolainayokwenda nina uhakika wa kugusa sehemu mojawapo ya mwili..sasa huyo b mmh yukombali lol
Skills jamaa Mataka aliwekwa benchi kabisa mbona? Akaanza kuwa promoto wa mashindano ya mamiss ndo mara akaja muungwana akamrudhisha kwenye chati. Sasa ili arudi katika level yake ikabidi awe na spidi kali ya kula pesa pale ATCL mpaka aikie level yake ya zamani na kuipita. Baada ya...
Nikuulize MKJJ..how much ofthe speech imepigwa desa? Kama ni more that 10% basi ni straight "paljarism" na pia kama hakuweka reference (sijui kama speech zina reference) basi nayo ni wizi/matumizi ya kazi ya mtu mwingine bila kumpa reference.
But then ndio maana inakuja kwamba pia ni muhimu...
Mutua i think this post is irrelevant. Labda kama ungekua na swali dogo kama hili ungem PM mmojawetu tungekujibu.
Hamna ubaya wowote..ama wee unaonaje? maana kama ni wananchi kuchoswa na mabomu i dont think that stands. Labda useme wanawatishia wananchi ili waichague Chi Chi Em hapo maybe..
MMMMhhh hapa patamu. Dr Shayo, Dr Mashaka nani zaidi? Mi nadhami Mr Mengi ambae walau yeye anachukia mafisadi. Sijaona hata moja wa hao jamaa hapa yaani Mashaka na Shayo wakitoa tamkojapololote kukemea ufisadi, na sidhani kama waliongelea hata kaa ufisadi ni one of the elements...
Jamani lakini si walisema badala ya kutumia vitu vipya which vitacost a lot of energy to make, ni bora tutumie recyles? Ama nakosea maana ukiangalia toileti paper ni recyle, paper plates recycle, vyuma recyled, viongozi wetu nao recycled sasa kuna ubaya ganii??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.