Shamba nilinunua kutoka kwa wenyeji nimeamua kuuza nibakiwe na shamba nililoendeleza kwa kilimo cha Korosho, kwa hiyo halina mgogoro na mm ni mkazi wa Arusha nilienda nununua huko.
Nauza Shamba hekari mia moja(100) lipo Mkoa wa Singida Wilaya ya MANYONI. Shamba lipo Kilometa Saba(7) kutoka Manyoni Mjini ni mwendo wa barabara ya lami na pia Shamba kutoka lami kuingia shamba ni meter mia tano(500) linapakana na Reli Ya Kati na Reli ya mwendo kasi(SGR) na pia linapakna na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.