Recent content by Jaroly

  1. Jaroly

    Sekretarieti ya Ajira Muogopeni Mungu

    mbona hiyo imekuwa kawaida kwa hao wanaojiita sekretariet ya ajira. wanatangaza kazi kupumbaza taifa. Mi nimeshuhudia mtu kaajiriwa chuo cha Maji DSM position inatangazwa baadae. Nampigia we vipimo mbona nimeona tangazo la kazi unayofanya wewe? Jibu language ni kwamba acha hayo mambo ya chini ya...
  2. Jaroly

    Nani alikuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD?

    great mama mdogo umetupa somo safi
  3. Jaroly

    Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

    hivi sisi wa Tz tunaghushi mpaka urembo barabara shule hospitali si tutazibinua bati chini msingi juu tuone ni dawa na tufanye kazi bila shidaaa. uui tubadilikeni tuache maujanjaujanja ya kwingine hayafaii aibu zetu
Back
Top Bottom