Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32
Naishi Dar es salaam
Nimemaliza form six
Nimesomea Air Ticketing
Nina experince ya zaidi ya miaka 5 kwe flight reservation
Nina experince ya miaka 2 kama receptionist kwenye 4 star hotel.
Kwasababu ya Corona kampuni niliyokuwa naifanyia kazi biashara imeyumba...
mmmh nadhani hii inategemea mtu na mtu, manake nilishakuwa na uhusiano na wanaume wakisukuma halafu mi ndo nikajikuta nawapenda na mwisho wa siku nikaambulia kulia. Japo hawajui kuacha lakini tabia watakazokuonesha utajikuta unamuacha mwenyewe. Sitaki hata kuwasikia ila sitaki kulaumu kabila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.