.....kwahiyo buddha,hindu,islam etc nao wataamini huu ujinga na upuuzi ulio andkia hapa?
duniani kuna dini zaidi ya 3000 sasa kujustfy kitu serious kwa imani yako ni zaidi ya upumbavu
.....kuna jamaa yangu aliambiwa mke wake na mtoto wake mdogo ni wachawi.
Huyu Musa wa Temboni ni hopeless sana....kavunja familia ya watu...howcome mtoto wa miaka 8 akawa mchawi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.