Hidaya hakuwahi kwa taxi driver.....alikua dada wa mjini aliyejua kutumia mwili wake na uzuri wake kutafuta pesa...alimiliki benzi miaka ya 90...mengine ni sahihi.
mimi nakunywa na sina stress kabisa...kuanzia ndoa,familia na hata vijisenti vya kubadilisha mboga sio haba sana...ila sasa kuanzia ijumaa jioni mpaka jumamosi saa6 ni pombe na mimi-never miss.
nakunywa weekend tuuuu...weekdays sipendi hangover kibaruani
Ninajenga yenye vigezo kama hivyo hapo Kyela kwenu imekula zaidi ya 19mill...bado hata wiring.
...nafikiri azingatie hilo ulilomuulize..."unatuma watu wakusimamie ?"...pengine itamsaidia ila hii ya kutuma mtu wanapiga hata kama ni ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.