Wengine walisimamia mengi lkn hawakuwa ma kipengele cha propaganda kama wengine. Magufuli hata akikohoa ni habari, akienda kanisani Jumapili na dunia yote inajua na wasanii wataongea usiku na mchana. Wananchi kwa attn kelele zitafika kila mahali pigisha kula utapata analysis
Analysis ni pale...
Makamba hana kitu. Debate akasimame na Dotto Magari au Mwijaku. Kwenye duru za managerial performance hakuna anachojuwa.
Weka CV yake hapa tuone alichosoma
Ni vizuri alipewa Wizara nyeti na sisi tumeona uwezo wake wa akili na uongozi.
Huyu mwenye tamaa za kuwa Rais baada ya Samia ametudhihirishia kuwa hana uwezo wa kuwa Rais wa nchi.
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya Jakaya Kikwete kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye changamoto ya viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge...
Hata aombewe na mashehe na wachungaji wote, hizo sala hazina maana kama hataonyesha ni wapi alimzika Ben Saanane na Azory Gwanda.
Pia arudishe magari na fedha za matajiri na viwanja alivyowarubuni.
Na mwishowe atuambie ni nani alimtuma kumshambulia Tundu Lissu akiwa bungeni mwaka 2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.