Ukipata muda na kama hali ya uchumi inaruhusu basi tembelea na nchi moja Afrika inaitwa Senegal. Senegal Waislamu wanafika 90% lakini hawana shida kabisa na Wakristu ambao ni minority yaani less than 10%.
Ila njoo sasa uwaòne Waislamu wa hapa Buza kwetu, utakimbia
Hata Adolph Hitler amegoma kufa tangu mwaka 1945.
Mijitu miuaji, mijitu midhalimu, mijitu mikatili tutaijadili sana ili taifa letu lisiingie tena kwenye makosa ya kuleta SHETANI kuwa Rais wa nchi yetu pendwa
Usijifanye unajua sana kutafsiri tafsida au mafumbo. Hotuba ya Mabeyo siyo ya kuifanyia ubashiri. Wote tumesikia wala haina mikunjo au mikwaruzo
Huo utabiri wako wa 2025 ifanyie familia yako tu iondokane na umaskini wako. Rais Samia tunaye hadi 2030
Nimependa mchanganuo wako pia. Nami naongeza kidogo.
Hao akina Mabeyo, Diwani na Sirro hawakumjulisha Makamu wa Rais kipindi anaumwa kwa kuogopa namna Magufuli atakavyo REACT ikiwa atataoka hospitali akiwa amepona.
Kuhusu kumtaarifu Makamu baada ya Magufuli kufariki nadhani walikuwa kwenye...
Kutumbua ndiyo nini? Ni ujinga tu alioanzisha Magufuli kisha wananchi wajinga wakawa wanaitikia kama chorus.
Kwa mfano alimtumbua Wilson Kabwe akiwa anazindua daraja la Nyerere pale Kigamboni. Kisha Wilson Kabwe akafariki baada ya siku chache. Je wewe Raia mpya ulipata nini kwa kitendo hicho
Yote hiyo ni ina describe namna Magufuli alivyokuwa ana operate nje ya mfumo rasmi.
Makamu wa Rais Samia alikuwa kama picha tu, au boya. Watu ambao Magufuli alikuwa anawashirikisha mambo nyeti ya nchi ni akina Bashiru Ally, Makonda, Dotto James etc.
Kwa hiyo hata akina Mabeyo, Diwani na IGP...
Umejibu kitaalamu sana, hujaacha hata chembe ya mashaka. Kongole denoo JG
Niongeze tu kusema JPM alikuwa na underlying conditions kama HIV, alifungwa defibrillator ambayo ilikuwa tayari chakavu na vilevile alikuwa na ka mental fulani. Hamna namna angeweza kukatiza mbele ya COVID-19 hasa hasa...
Ungejuwa ni kesi ngapi ziko ICSID na ngapi tumekwisha garagazwa na tunalipa billions of dollars kwa sababu ya maamuzi yake ya HOVYO, usingeandika huo utumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.