Tunduru Kaskazini kuna Kata 24, 11 zimechuuliwa na CUF ambazo ni Ngapa, Tinginya, Nakapanya, Ligunga, Kidodoma, Nandembo, Nampungu, Nanjoka, Majengo, Mlingoti Mashariki. Tunduru Kusini kuna Kata 15, 3 zimeenda CUF nazo ni Nalasi Mashariki, Nalasi Magharibi na Mbati zilizobaki zote CCM. Majimbo...
Historia inaonyesha kuwa Vyama vikongwe Barani Afrika vimeanguka kutokana na sababu mbalimbali hasa kukithirikwa umasikini na ukosefu wa ajira; ajira za upendeleo;kukua kwa matabaka hasimu kwenye jamii; rushwa, ufisadi,ubadhirifu na matumizi ya anasa serikalini.CHADEMA inatambua sababu kuu nne...
ukidharau la Escrow, hutolishangaa la hawa manesi wetu. Anajitolea kwa moyo wote halafu anasikia mafisadi wanapeta uraiani pamoja na ushahidi wote, kwa nini asijiulize mara mbilimbili uadilifu wake una maana gani? POLENI WAHANGA
Jina hasa la Ibn Sina ni Abu 'Ali al-Husayn bin ‘Abdillaah bin Sina (alizaliwa mwaka 980 katika mji wa Afshana karibu na mji wa Bukhara. Na wengine wanasema alizaliwa mji wa Balkh huko Afghanistan, mamake alikuwa raia wa Fursi na babake mkusanyaji kodi kutoka Balkh chini ya Ibn Mansuur...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.