Usikariri maisha dogo ,mimi siyo mwalimu ,hata miaka 33 sina ,nina mume wangu na watoto wangu ila nina uhuru wa kiuchumi bila kujali nini mume anachangia
Mkopo wa mtumishi bado miaka mitano uishe
Chumba kizuri single kodi nalipwa elfu 60 ,nina vumba viwili na eneo linatosha vyumba kama nane
Nikijenga standard na choo kwa hapa chumba ni laki moja ila vymba vya sasa vya kawaida ila vikubwa
Mshahara wangu
Take home ni laki nane kwa sababu nina mkopo NMB ambao bado saa uishe ulikuwa na miaka 6
Hapo hapo nina biashara ya duka la hardware napata mia mbili mbili ,na vyumba viwili vya kupanga ambavyo napata 120,000 kwa mwezi
Sasa hii biashara imeyumba kwa kiasi flani bidhaa zimeisha...
Naandika baada ya kufanya uchungu wa kina Sana
Wapendwa tukiacha Yale mapenzi ya sekondari ,tukaja kwenye utu uzima yaani kuanzia miaka 27+ Ni ngumu sana kwa mwanamke kumpenda mwanaume asiye na hela( jamani mtanipiga mawe mtasema sijui vipi lakini ukweli Ni kwamba Ni ngumu kumpenda mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.