Kwa yeyote anaeweza kuwasiliana na sita ni vema akamshauri kuwatafuta wale woote wanaomkubali yeye kama sita ili wamuunge mkono mtu wa upinzani..hapo watatoka tu labda uchakachuzi uingie mpaka kwa wabunge wenyewe..mfano sita akipata watu 40 wanaomuunga mkono na chadema wakaunganisha na kafu basi...
Hatimae aliekuwa mbunge machachari aliemwagwa huko nyamagana mwanza laurence masha aka lau amewekewa matumaini ya kuula upya tena kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi baada ya kuahidiwa kupewa mojawapo ya nafasi zifuatazo ili ajilie maisha na bata kama wasemavyo watanzania..akizungumza kwa...
pengine iwekwe hadharani kuwa tume ya uchaguzi ni moja ya taasisi zilizowekwa kwa ajili ya kuibeba ccm. Hii imewekwa wazi na mmoja wa wapiganaji wetu ambae amesema wazi daima ccm imejiwekea utaratibu wa kuwa na watetezi ktk kila secta mfano.bot,mahakama,nec na sekta nyingine na inafanya kazi...
Ni kweli matokeo ya shelembi yamechakachuliwa tena hadharani na tume walimtangaza mshindi..after watu kuondoka manispaa yakatangazwa mapya..jamani kuhusu shy ni kweli na wala hakuna uongo just make a call to friend o relative in shy.mambo kwao si mazuri hata kidogo,,redio zingine eti ccm...
nasema hao walotangaza shy ccm imeshinda ni maharamia,, tume iliwatagazia wananchi wa shy kuwa chadema imeshinda then tbc wakasema ccm imeshinda eti tume ilitangaza ili watawanyike.nasema kumamae waache kuwafanya watanzania ni kuku wa kisasa(bloilaz) tena waache upuuzi wa kijinga. Na machafuko...
acha wachome tu tena wamchome msimamizi wa uchaguzi wa jimbo maana ndo mamluki huyoo. mkamateni mmtie adabu.. ni ujinga kutunza upuuzi kaka huu,choma woteeeeeeeeeeeee
haya mambo yanmeiva sasasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Naye Getrude Mongela ameshindwa kutetea kiti hicho dhidi ya mpinzani wake Salvatory Naluyaga wa Chadema.
source::::Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
Hatimae majira ya saa 1 kasoro kumi hivi mwanza kimeeleweka kwa kura 38elf za wenje dhidi ya 27elf za masha wa nyamagana.. Sasa nina amani maana shinyanga nayo pameeleweka na maswa zote mbili pia meatu.. Hongereni wapiganaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.