harrysonful
Member
- Oct 27, 2010
- 34
- 0
pengine iwekwe hadharani kuwa tume ya uchaguzi ni moja ya taasisi zilizowekwa kwa ajili ya kuibeba ccm. Hii imewekwa wazi na mmoja wa wapiganaji wetu ambae amesema wazi daima ccm imejiwekea utaratibu wa kuwa na watetezi ktk kila secta mfano.bot,mahakama,nec na sekta nyingine na inafanya kazi ikishirikiana na uvccm na uwt kama sehemu ya taasisi zake ktk kuhakikisha inabaki madarakani..hii inajionesha huko shinynga kwa kuiba ushindi wa chadema hadharani kwa kumtangaza bwana shelembi kuwa mbunge kwa chadema na baada ya kuingia kushangilia akatangazwa bwana masele kuwa mshindi tena,hali hiyo iko kigoma mjini. Sumbawanga na songea..nec inaendelea nakubadiilisha matokeo ya uraisi kama ilivoagizwa na ccm baada ya watanzania kuelekeza maskio yao ktk kura za ubunge..
Uvccm
uwt
nec
will keep ccm alive
Uvccm
uwt
nec
will keep ccm alive