Recent content by hansi dankeny

  1. H

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta wa kubadlishana naye mm nipo Manispaa ya sumbawanga natafuta MTU wa kubalishana naye hapo Itigi singida ni mwalimu s/m
  2. H

    Waziri wa elimu kwa hili la kurudisha walimu shule ya msingi umechemka

    Hawa mwalimu ni wale ambao cheti ni cha primary baada ya kujiendeleza walipata diploma in secondary hivyo waliazimwa tu wakiwa wametokea Shule za msingi hivyo serikali kuwarudisha sio kosa kwani ukiazima ni sharti urudishe watanzania acheni choko choko
  3. H

    Trump approves Sh43.5bn arms sale to Kenyan military

    Jamani ninaomba. Namba za simu kwa MTU aliye mugandu manyoni singida ninashida sana
  4. H

    Kwa msaada zaid Soma hapa

    Niadd na mm namba yangu ni 0758054952
  5. H

    Msaada jamani nifanye nini endapo hakimu anaonyesha kama anakukandamiza mbele ya mshitaki wako?

    Msaada jamani namna ya uandishi wa barua hiyo kwani shauri hilo ni la tarehe 5.1.2016
  6. H

    Msaada jamani nifanye nini endapo hakimu anaonyesha kama anakukandamiza mbele ya mshitaki wako?

    Nifanye nini endapo hakimu anaonyesha kama anakukandamiza mbele ya mshitaki wako? Hancy
  7. H

    Lowassa: CCM isijidanganye

    Jaman Ccm ni chama tulichopewa kutoka kwa mungu. Watanzania msidanganyike
  8. H

    Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

    Ccm ni chama kutoka kwa mungu.watu wengi humwaasi mungu lkn akichoka huko hurudi kwa baba na mama yake kama mwana mpotevu tutakupokea ucijali.na itakuwa shangwe na vigelegele kama wafanyavyo malaika huko mbinguni mtu anapokuwa ameo okoka.
  9. H

    Chukulia Lowassa angekua Rais haya yangetokea au ingekua zaidi ya haya?

    Mm naipenda Ccm kwan INA mipango inayopimika mh.Rais wetu wala hana tatizo lolote kwan dira tayari ameitoa kwa nchi nzima na maendeleo yana onekana.kanunua ndege,katoa watumishi hewa,wanafunzi hewa,mambo mazur bandarini,madawti yapo ya kutosha kila shule ,elimu bure,anawalipa wapinzani bungeni...
  10. H

    The Rise and Fall of Paul Makonda (Dar RC)

    we we unaponda tu mbona hausemi kuwa anajali watumishi kama mwalimu,kamsaidia yule alotobolewa macho milioni kumi,vipanya road vilianza kuzuka kavidhibiti,mwacheni Mtoto wa watu afanye kazi kama mmeanza lugha za ushawishi kwa Rais wetu kipenzi amtoe hawezi anawafahamu watanzania vizuri Hamna...
Back
Top Bottom