Recent content by Gogovivu

  1. G

    MIPOKEE JAMANI

    Haaa haaaaa tangu lini mgeni akaulizwa amekuja na zawadi?Mkaribishe mgeni kwanza kisha utmuona amekuja na zawadi gani
  2. G

    MIPOKEE JAMANI

    Hodi hodi wangwana, naomba mnikaribishe katika jukwaa lenu tukufu la dini
  3. G

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifanikiwa kupambana na Ukabila, Udini na Ujimbo?

    Kusoma hatutaki na tukisoma hatutaki kuelewa au tunajifanya hatuelewi.Hapa tunaongelea maradhi ya kijamii ambayo yanailfanya taifa kukosa amani usalama na hata kubaguana na swali je nini tufanye ili bomu hili la kutegwa lisije likapasuka?je ilikuwa tumuulize Mwalimu Nyerere kwa nini unapiga vita...
  4. G

    Waislam walikuwa hawamwamini Lowassa tangu akiwa Waziri Mkuu

    <strong><img src="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png" border="0" alt=""> waislam walikuwa hawamwamini Lowasa tangu akiwa waziri mkuu</strong><br><br><font color="#333333"><div style="margin-left:40px"><strong>"</strong><strong>Waislamu wana wasiwasi na Lowassa"</strong><br> <br>...
  5. G

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifanikiwa kupambana na Ukabila, Udini na Ujimbo?

    &#8203;Kwa faida ya kuelimishana ingekua vyema kutupa ushahidi wako jinsi gani Mwalimu Nyerere alivyoiacha nchi katika janga la mfumo kristo hii si kwa ajili yetu tu bali ni kwa faida pia kwa kizazi kijacho.Hii tuhuma ni hatari sana kwa kiongozi kama Baba wa taifa lete ushahidi wako ili tupate...
  6. G

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifanikiwa kupambana na Ukabila, Udini na Ujimbo?

    Taifa letu tangu anga'atuke Baba wa taifa na hatimae kufariki katika mwaka 1999 maradhi ya kijamii ya ukbila,udini na ujimbo yamezuka kwa nguvu na kwa kasi kubwa sana,kiasi ya kutishia amani,usalama na umoja wa nchi yetuSasa swali ambalo linalojiuliza hapa kwa nguvu ni hili,Je kwa nini Mwalimu...
  7. G

    Urais uanzie miaka 60

    Kwa nini wananchi wa Afrika hatujiamini?Hizi ni zama za demokrasia,utawala wa watu kwa ajili ya watu. Zama za madikiteta zimeshapitwa na wakati.Katiba ndio nchi na nchi ndio katiba,sasa Rais alieapa kwa katiba hiyo kisha akaigeukia na wananchi wanamwangalia tu hiyo siyo nchi.Kuanzia miaka 40...
  8. G

    Deni la taifa lapanda na kufikia zaidi ya trilioni 40

    Watanzania ni mazuzu,mataahira,mabubu,viziwi na vipovu.tutaburuzwa tu na CCM mpaka tutoke bararani,iweje tunawaangalia viongozi ambao wamelifiksha taifa kudaiwa kwa kiasi hicho?
  9. G

    Askofu Pengo: Nasumbuliwa na uti wa mgongo, Watanzania Chagueni Rais fukara

    Je,ulikua na umri wa kujitambua wakati wa utawala wa Nyerere? Unajua hotuba zake zote unazoziona kwenye TV alizitoa wakati alipokuwa tayari ameshastaafu. Alipostaafu alikiri mwenyewe kwamba alifanya makosa mengi sana. Alichoomba ni kwamba watu wachukue yale mazuri liyoyafanya na waachane na...
Back
Top Bottom