Dr Slaa anaonekana wazi anataka kuua wapinzani ili kuiokoa CCM. Ukitaka kujua hili, jiulize ni kwanini hawaambii watanzania wampigie kura nani katika huu uchaguzi?
Ikiwa anaamini kuwa UKAWA inaongozwa na Mafisadi, na CCM ni hivyo hivyo; Anataka kutwambia tusipige kura mwaka huu mpaka yeye...
Kwa hapa itakuwa wamefanikiwa maana DR Slaa wameshafanikiwa kumuacha katika kinyang'anyiro cha urais, Mbowe naye sijui ila nasikia alikuwa akifanya masters, pengine huenda alipata degree!
Lakini DR anaweza kufanya degree course faster kwa miaka miwili!
Hii rasimu ni ngima nzito kwa wanasiasa wengi tu.
Tutashuhdia baadhi ya vyama vikipoteza viti vya ubunge kwa wagombea binafsi.
Sina uhakika sana ila nahisi rasimu ikipita CHADEMA watakuwa wamepoteza jembe lao, DR Slaa kwa kukosa sifa ya kugombea urais ambayo ni shahada ya chuo kikuu...
Hii rasimu naona imekaa kimtego mtego sana kwa CHADEMA.
Mgombea urais lazima awe na degree ya chuo kinachotambulika. DR Slaa 2015 kama hii rasimu ikithibitishwa, anakosa sifa ya kugombea.
Ni vyema CHADEMA mkajipanga kupata mgombea mwingine, lakini kwa rasimu hii naona kama DR Slaa anakosa...
Neno la kijiweni liko wapi kayika maelezo yangu?
Ukileta nchi inayoitwa Tanganyika karne hii, utapata shida kujitambulisha.
How does it sound umeenda nje ya nchi halafu unasema mimi ni Mtanganyika?
Wanaweza kusema labda unatokea kigoma, Tanzania!
IYDU ni combination ya washirika wa aina mbili; conservative na Christian Democrat.
Where is the difference? I stand to be enlightened lakini naweza kusema kuwa IYDU inafungamana na vyama vyenye mlengo wa christian democracy.
Sijui kama ni vyema kwa CHADEMA kuji associate na vyama vyenye...
Haya mapambano yangekuwa yanaelekezwa kwenye kutokomeza umaskini!
Nafikiri Tanzania tungekuwa wakupigiwa mfano Afrika. Why killing/ hurting each other?
Moja kati ya mawili huenda ikawa kweli au vyote viwili:
1) Mwandishi ameandika kishabiki sana
2) Mwandishi hakupitia shuleni kufunzwa kuhesabu. Hajui hata 50 ni ngapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.