Umezungumzia uwepo wa watia nia takribani 30, lakini umewazungumzia 6 tu huku ukimsifia Pamba, bila kugusia madhaifu (kama yapo).Jaribu kuwa 'neutral' kidogo.Si kweli kuwa kila mgombea ana madhaifu tu.Mwambie Pamba akupe madhaifu machache basi 'uzugie'!!
Ahsante Kapotolo na wengine ukweli unabaki kuwa:
-Kozi ya Paediatric dentsistry inafundishwa MUHAS
-Kozi ya Paediatric dentistry ni ghali zaidi UK kuliko Tanzania
-Muda wa kozi zote kwa nchi zote (UK na Tanzania) unakaribiana kama sio kufanana
-Kati ya madaktari wa kinywa (DDS) watatu walioomba...
Hatimaye muuaji wa wanawake Dar akamatwa........
MTUHUMIWA WA MAUAJI..
Hivi karibuni umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ulifurika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kumshuhudia mtuhumiwa wa mauaji ya wanawake kwenye nyumba za kulala wageni, Protas Massawe aliyefikishwa mahakamani hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.