Hukumu yake itazingatia pia precedents.Hujui wengi wao walifungwa kama matax drivers, madereva wa daladala, mabasi ya abiria etc. HEEE al;ikuwa mwanasheria mkuu sheria itamuogopa mwaka huu.
Mmoja anasema Tanzania Daima ni la CHADEMA, nimtake radhi kama haelewi kiingereza kwani naomba asome usemi huu "Anyone who walks into a church becomes a christian, Does also walking into a garage make you a car"?Muhimu ni Concept sio hisia kwa sababu Baba yangu ni mhindi wa Indepence street...
Unawajua Watu wa UBUNGO Mheshimiwa.
Hivyo vitu ulivyovitaja wanavijua tuambie implementation srategy ukiambatanisha na action PLAN yako. SISI WASOMI NA WANANCHI WA KAWAIDA ambao tupo hapa tunasoma UDSM wengine maofisa mipango,treasurers etc.Nenda kwa DAVID Msuya au Mtei wanajua kama usemayo...
Naomba tusichanganye mambo na kuwafanya wengine wasielewe vizuri mihimili na maana ya vyama vya siasa. Kiingereza au kizungu kiko so precise katika kueleza vyama vya siasa zaidi ya kimoja katika nchi moja vyaitwa opposition parties na sio tafsiri ya fitina muipelekayo kwa watanzania na kueleza...
Wengi huhitaji kuchaguliwa kuwa viongozi lakini hutaka ajira zaidi na madaraka yatakayo ambatana na malupulupu na huu ndio ukweli.Idadi ya mawaziri ni kubwa mno kiasi kwamba wengi wao hawana uwezo wa ku add value katika jamii ya kitanzania.
Wanaludewa wamenyimwa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge.Huyo Mbunge anayesemekana alipita bila kupingwa amewanyanganya Demokrasia WanaLudewa.Ndugu Manfred Peter Mtitu Kaza Buti katika Kesi uliyofungua mahakama kuu kanda ya Iringa.
Ulinyimwa fomu katika Mazingira ya kutatanisha naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.