Habari wana JF naomba kujua viwango vya mishahara katika salary scales zifuatazo:
{1}TGS A
{2}TGS B
{3}TGS C
{4}TGS D
Angalau izo tu .Naomba anayejua aninidadavulie plz
Ni kweli kabisa uko sahihi ulichokisema kiukweli imewalenga graduates walio makazini namna gani wataongeza kipato chao pasi kutegemea mushahara wanayopewa kumbuka jamaa hiyo laki tano aliyoanza nayo imetokana na kazi aliyokuwa nayo,kwa wale je wasio ajirani wapi watatoa hiyo capital,kiukweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.