Hivi unajua hao unaowaandikia ni Watanzania na ndo hao hao wananchi ambao wanazijua changamoto zinazowakumba kwenye jamii.Jaribu kufwatilia maandiko yako uone kuwa Watanzania wengi wanakubaliana na sifa unazotoa kwa uongozi huu ama la.
Kiuhalisia ni kwamba Watanzania ambao ndo wananchi wenyewe...
Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.
Naomba kuwasilisha na asanteni
Habari zenu wakuu.
Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri mwenyewe kwenye fani hii ya uchomeleaji/welding lakini sina uzoefu ama experience na kazi hii.
Nimekuja hapa mbele yenu kuomba ushauri wenu ili nipate walau mwanga kutoka kwenu ili nijue naanzia wapi. Naamini Ushauri wenu na mapendekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.