Mgogoro wa kanisa la Moravian nchini unasababishwa na mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye pia ni kada wa CCM anayeitwa YONAH SONELO. Tusioneane aibu hapa, huyu bwana ndiye chanzo kikuu cha migogoro yote ya makanisa ya Moravian nchini, hata serikali inalijua sana hili.. Anatumia pesa zake...
Endapo wanafunzi watalipa nauli za wakubwa kwenye dala-dala, mojawapo ya faida ni kwamba: HAWATA ACHWA KABISA VITUONI NA USAFIRI WAO UTAKUWA NI WA UHAKIKA.
Je upande wa HASARA ni nini? Kama itaonekana faida ni kubwa kuliko hasara nashauri Serikali itangaze nauli moja kwa wote bila kujali...
Nadhani serilkali ina mpango wa kuturudisha kwenye enzi za mwalimu ambapo habari zote zili-edit-iwa kwanza kabla ya kurushwa hewani. Enzi hiyo hakukuwa na taarifa zozote zinazo toa kasoro utendaji wa serikali, bali zilitoa misifa tu hata penye mapungufu. Ndiyo maana hadi leo wapo wanao amini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.