Septemba 15, 2018 Rwanda iliwaachia huru wapinzani zaidi ya 2,000, miongoni mwa walioachiwa huru ni pamoja na Victoire Ingabire Umuhoza, Kiongozi wa Chama Cha FDU aliyekuwa anatumikia kifungo cha miaka 15, alikuwa jela tangu 2010 kwa makosa ya uhaini.
Wiki kadhaa baada ya Victoire kuachiwa...
Kesi ya viongozi karibu wote wa CHADEMA ni ya muda mrefu inavuta hisia kali ndani na nje ya nchi hasa kwa vile kati ya walioshitakiwa kuna kiongozi wa upinzani bungeni KUB. Kesi hii inachukuliwa na wengi kama 'litmus test' kwenye utawala wa Magufuli, hukumu ya kesi hii isipotolewa kwa umakini...
Kesi ya viongozi karibu wote wa CHADEMA ni ya muda mrefu inavuta hisia kali ndani na nje ya nchi hasa kwa vile kati ya walioshitakiwa kuna kiongozi wa upinzani bungeni KUB. Kesi hii inachukuliwa na wengi kama 'litmus test' kwenye utawala wa Magufuli, hukumu ya kesi hii isipotolewa kwa umakini...
Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe anatarajiwa kubadilisha baraza lake na kuingiza sura mpya.
Sababu ya mabadiliko hayo ni kutokana na wizara kuongezeka kutoka 18 hadi 21.
Tofauti na baraza lilopita lililohusisha wabunge kutoka vyama vya NCCR, CUF na CHADEMA...
MsemajiUkweli
Tuliwaambia Mbowe ni kisiki baada ya kuona mbinu na propaganda za kutaka asiwe mwenyekiti Chadema ku feli mmekuja kwa staili ya kumpongeza mimi naona ni sawa na kusema sizitaki mbichi hizi.
Ni mwana CCM mwendawazimu tu atakayedai Mbowe anaisaidia CCM, Mbowe huyu huyu aliyechukua...
Mkuu ungejadili bila kumlazimisha mtu itikadi ingependeza sana.
Chadema ilibugi ilipokubali kumpokea EL ikapoteza uhodhi wa sera yake ya ufisadi, CCM wakachukua advantage ila kwa sasa CCM nao wamepunguzwa nguvu na ufisadi wa 1.5t kujitetea imekuwa ngumu.
Mbowe hana njaa ya aina hiyo ana biashara zake tangu zamani.
Hizo pesa sijui za wajerumani hazina nafasi kwangu kwa sababu hazina facts kama 1.5 ya CAG.
Siyo kwamba watu hawawaelewi watu wameshaelewa na wanawapigia kura wapinzani, problem ni kuwa mgombea mmoja ndiye anayehesabu kura what do you expect,
dawa ni kufikiri zaidi ya kupigiwa kura.
Hiyo ni kukata tamaa tusifike huko tutaumia zaidi ya hapa, kinachotakiwa ni wao kuja na strategies mpya kama ni vote hacking let them do kama ni ku groom watu ndani ya CCM yenyewe na kuifanya igawanyike sawa au ndani ya gov machinery acha wawaingize watu wao, nafikiri unanielewa.
Hata la...
Siku hizi habari zinasambaa kwa haraka sana hazina cha mjini wala kijijini, mfano wa Waraka wa kanisa ulisomwa siku moja kwenye makanisa yote Tanzania nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.