Kurasini Mivinjeni, kulikuwa na miti ya mivinje mingi sana kando ya barabara ya kilwa road.
Kurasini Shimo la Udongo, walikuwa wanachimba mchanga wa kujengea nyumba. Yale mashimo kwa sasa wameyafanya mabwawa ya maji taka.
Ukonga mwembe madafu, kulikuwa na mwembe ambao wanauzia madafu.
Majumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.