Kurasini Mivinjeni, kulikuwa na miti ya mivinje mingi sana kando ya barabara ya kilwa road.
Kurasini Shimo la Udongo, walikuwa wanachimba mchanga wa kujengea nyumba. Yale mashimo kwa sasa wameyafanya mabwawa ya maji taka.
Ukonga mwembe madafu, kulikuwa na mwembe ambao wanauzia madafu.
Majumba...
Muheshimiwa Spika, nimesahau kuuliza maswali muhimu sana.
1. Kwa kuwa shirika letu la ndege halina ndege hata moja, je, kwa nini bunge lako lisitoe amri ya kuichukua ndege ya rais na kulikabidhi shirika la ndege ili kulinusuru lisife kabisa?
2. Kwa kuwa rais atakuwa hana ndege hivyo hataweza...
Mheshimiwa Spika, pamoja na majibu mazuri niliyopatiwa, bado nina maswali mawili ya nyongeza.
1. Kwa kuwa mheshimiwa rais amesharudi nchini, na kwa kuwa inasemekana ana safari nyingine kuelekea Malawi, je, tunasuhusiwa kuizuia ndege yake isiruke mpaka atakapowashughulikia hao mawaziri mafisadi...
Tafadhali jaribu kusikiliza na kufata ushauri unaopewa. Tangazo lako lina mapungufu mengi sana. Kwani ulishindwa hata kutaja aina ya gari unayouza mpaka watu wakakuuliza ndo ukataja. Mbona haukugoma kutaja aina ya gari? Kwa nini hayo maswali mengine hautaki kuyajibu? Tatizo lipo wapi? Watu...
Muheshimiwa spika, kwanza nashuku kwa kuniona na kunipa nafasi ya kuuliza maswali mawili ya nyongeza.
1. Kwa kuwa mawaziri hao wamekubali kuwajibika na kwa kujiuzuru. Je, serikali inampango wa kuwashtaki na kutaifisha mali zao zote?
2. Kwa kuwa mawaziri hao wamejipima wenyewe na kuamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.