Habari zenu?? Nlikua naomba soft copies za "The employment and labour relations (code of good practice) rules 2007 na labour institutions(mediation and arbitration) rules 2007 km kuna mtu anazo.
Habari zenu?? Nlikua naomba soft copies za "The employment and labour relations (code of good practice) rules 2007 na labour institutions(mediation and arbitration) rules 2007 km kuna mtu anazo.
Naitwa fahad na katika chitchat ni mgeni.Mi nlikua natafuta marafiki wakike wa kuchat nao nje ya Jf ili tubadilishane mawazo.Sibagui dini,umri,kabila wala rangi.Nyote mnakaribishwa na aliyekua tayari ani-PM kwa mawasiliano zaidi.
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.