Kwanini udanganye watu jinsia yako?unafaidika na nini?

fahad clay

Member
Jul 25, 2012
35
2
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia ya kiume ambapo wengi hujifanya wanawake.Je, nauliza nyie wanaume mnataka kuolewa? Ama kazi ya kupinda mgongo mnaipenda?mnaona wanawake wanafaidi mpaka mnataka muwasaidie?mi naona ni ukosefu wa akili na ulimbukeni!
 
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia ya kiume ambapo wengi hujifanya wanawake.Je, nauliza nyie wanaume mnataka kuolewa? Ama kazi ya kupinda mgongo mnaipenda?mnaona wanawake wanafaidi mpaka mnataka muwasaidie?mi naona ni ukosefu wa akili na ulimbukeni!

mkuu sasa mbona umemaliza kila kitu mwenyewe?? Hayo uliyoyasema ushayapa jibu tayari ukweli ndio huo. Sio mashoga wote huwa wanatokana na msukumo wa homon, wengine huanza kama hawa sasa mwanaume unapo penda na kujisikia raha na faraja unapotongozwa na mwanaume mwenzako kwa nini usipende na kuliwa tigo?? Na unabadilisha jina na kujipachika jina la kike ili iweje kama sio kutamani kufilwa???
 
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia ya kiume ambapo wengi hujifanya wanawake.Je, nauliza nyie wanaume mnataka kuolewa? Ama kazi ya kupinda mgongo mnaipenda?mnaona wanawake wanafaidi mpaka mnataka muwasaidie?mi naona ni ukosefu wa akili na ulimbukeni!

Hizi tabia hata mimi huwa nazichukia sana, sijui na huwa sielewi huwa wanajisikiaje wanapotumiwa meseji za kutongozwa kutoka kwa wanaume wenzao? Hawajisikii kichefu chefu? Hawajioni wanadhalilisha nafsi zao?
 
wanafanya hivyo kwa sababu uwongo ndio tabia yao.mtu na akili zako,huwezi kufanya hivyo
 
Hizi tabia hata mimi huwa nazichukia sana, sijui na huwa sielewi huwa wanajisikiaje wanapotumiwa meseji za kutongozwa kutoka kwa wanaume wenzao? Hawajisikii kichefu chefu? Hawajioni wanadhalilisha nafsi zao?

mashoga hao! Wanawashwa!
 
Afu unakuta nyumbani ana mke na watoto, kwenye mitandao ya kijamii anajiita mwanaasha khaaa! jamani mambo mengine ni kujitafutia laana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom