Recent content by ezma

  1. ezma

    Imenikera. Hivi inawezekana ikawa ni kweli anachosema!?

    Ameshakuona we mjinga umeshindwa kujiamini na kusimama kama mwanaume, usimpende sn mwanamke mpaka akuone huwez kufanya chochote kwake...... Mzingue kuwa tayar hata kuachana naye mpaka akuheshimu, huwez kuishi na mwanamke kwa kumbembeleza mda wote
  2. ezma

    Achana na Ubora wa kikosi, SIRI kubwa Simba UBINGWA

    Simba nimeamini kweli ni mbumbu aisee, siri ya ubingwa wenu ni majeraha ya kikos cha Yanga na ukata ulioko hapo.... Yanga ikiwa vizr kifedha hata Rais wa Tff awe manara yanga wanachukua ubingwa
  3. ezma

    Hali imekua tete mitaani wanawake ndio wanatongoza wanaume

    Kweli aisee wamechoka kinoma
  4. ezma

    Imetimia wiki sijapiga punyeto

    Mungu akusaidie mkuu, jiepushe sn kukaa peke yko jaribu kujiweka busy itakusaidia sn
  5. ezma

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Mwambie aende peke yke kwa yule mganga aliyetengeneza huo uchawi , kingine aende kwa watumishi wa Mungu waliosimama hasa anaweza kupona..... Pia wewe mwanamke mpumbavu hii dhambi itakutafuna mpaka kaburin
  6. ezma

    Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye

    Hujamkomoa mwanaume umejikomoa mwenyewe tu kwani hyo papuchi ni yko raha na karaha unapata wewe na naamin hyo mmeo hajakukuta bikra,,, we tumika tu lkn kumbuka kuna magonjwa
  7. ezma

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Kutana na nyoka wote lkn sio hyo , kwanza ukikutana naye anakutiasha kwa kwa sauti fulani hivi ole wko uiname kuchukua kitu umpige umekwisha but ukisimama tu bila kufanya chochote anakuacha na kuondoka zake
  8. ezma

    Msaada kwa wale iOS users.....

    Hiyo charger sio nzur mkuu nunua ingine
  9. ezma

    Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

    Usije ukawa unatumia sababu tu
  10. ezma

    CHADEMA yagota sasa yavamia hoja ya Dodoma City

    Kwani Chadema walitangaza maandamano?
  11. ezma

    Vijiwe vya kahawa /draft /bodaboda /karata ni makao ya watu wa TISS

    Mi hata sielewagi wanafanya kazi gani taifa linaibiwa watu wanapiga ufisadi wa maana usalama wapo cjui kazi yao ni kutafuta nini aisee
  12. ezma

    Spika Job Ndugai ataja sifa za mbunge kutibiwa nje ya nchi

    Hawa jamaa walitaka Lisu afe kabisa
Back
Top Bottom