Hili wazo linashangaza,
Eti Vunjo na Mwanga kagawiwa NCCR.
Kama kweli itakuwa hivyo ujue kuwa CDM itakuwa inajizika taratibu kwenye majimbo hayo mawili.
Kuna makamanda wa CDM wanakubalika sana Vunjo na Mwanga.
Iweje NCCR ipewe kama zawadi?
Nadhani wewe hufuatilii vizuri siasa za VUNJO na MWANGA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.